....Angalia namna watu wanavyokuwa makini au wanavyokosa umakini na wapiga kura wao,CDM wamechota shs mil.25 kusaidia waanga wa mafuriko DSM,CCM wao tena kwa mbwembwe wametoa shs mil.4 kupitia kwa k/muenezi Nape Nnauye....
kupitia jambo hilo ndo utajifunza kati ya ccm na cdm nani wazalendo wa kweli, kutoa ni moyo for sure, ccm pamoja na mijihela walonayo bado ni wabinafsi, aibu kwao.