Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,861
- 808
Baba wa taifa alisema tupige vita maadui watatu katika taifa letu, ambao ni UJINGA, MARADHI, Na UMASKINi, lkn kwa sasa ameongezeka adui mwingne wa kupigwa vita kwa kushindwa kufanya kazi ambaye ni CCM, huyu ni adui wa 4 wa wananchi.