Samora10 umelonga hilo zee toka hifadhi ya gombe yaani ni kero mnoo linapinga saana wa TZ tupewe haki yetu ya msingi halitaki kabisa. nadhani mabadiliko kwao ni sumu
Huyu mama ailijifanya ana uchungu na sisi kumbe naye ni walewale simba ndani ya ngozi ya kondoo,kwa mtazamo wangu wafuatao wamo
1.Mwerema
2.Komba wa ini
3.Mzee wa bastola igunga
4.Matonge ya kirema
5.Wabunge wa kutoka mdebwedo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.