CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Nikiwa kwenye matembez yangu nilipita karibu na uwanja wa s.a,abeid nikaona nisisuse kwa asilimia 100.nikajongea ndani kuona kinachoendela..sikuamin macho yangu idadi ya watu ilikuwaa ndogo sana kuliko hata magari ya viongoz,,big up wana arusha kwa kususia maigizo haya,,