Mwenge umezindua miradi mingi sana,lakini tathimini ifanyike kuangalia kama miradi hiyo inaendelea baada ya mwenge kupita.Kuna bomba moja kwenye wilaya moja maarufu kwa madini ya dhahabu mkoani MBY,lilitoa maji siku moja tu ya mwenge baada ya hapo no water;Sasa ni siasa au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.