Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Mkuu pini la ukweli ila umelileta sio kwenyewe.......
Sina fikra za kidini ila wewe unazo kwakusema kwenye post yako BAKWATA wako kwa maslahi ya chama zaidi,naijua historia ya BAKWATA,hatuko kwenye mfumo wa chama kimoja,kuna watu kwenye hiyo jumuiya wako CUF,CHADEMA,APPT nakadhalika nawafahamu,sasa wewe kusema wako kwa maslahi ya chama ndo nikasema ni uongo mweupe, na nikatoa mfano sijasema ndivyo ilivyo naona una badili mwelekeo wa point yangu ya msingi,kwamba je kwakuwa maaskofu walitimiza wajibu wao ambao mi naona wako sahihi kabisa wa kupinga kile kilichofanyika Arusha,je tuseme nao wako CHADEMA na wako kwa maslahi ya chama??? Nilichotaka kusema ni kuwa BAKWATA wamesema wanavyoona wao na wakaamua kumuunga mkono meya ambaye kuchaguliwa kwake kulikuwa na utata,lakini si kwamba wako kwa maslahi ya chama,kwa kuwa wanajumuiya ya BAKWATA si wanachama wa chama kimoja.
Nimekuminyia kitufe mkuu, sasa sijui jinsi ya kuiondoaMkuu pini la ukweli ila umelileta sio kwenyewe.......
Soma mwananchi ya leo Jumanne Jan 11,2011 page14 kama haukupata habari.
wewe ni mwislam SWAFIUsilete ubishi usiokuwa na manufaa mimi mwislam usinilazimishe kuiamini bakwata labda uwe umetumwa nitakuelewa naijua bakwata ndani nje viongozi wao historia zao tangu enzi za Sheikh Kassim Bin Jumaa kwahiyo mama mida ya mchana hii ni bora uingie jikoni ufanye mambo usishadadie mambo usoyajua.
Point yangu ni kuwa Uislam hauruhusu kudhulum nafsi ya binadam tena hasa mtawala kudhulum nafsi ya anaemtawala. Sasa kama wapo masheikh wamehalalisha itakuwa kwa kupewa chochote kwani hamkumbuki hata hao wanaokemea uovu sasa walipaza sauti na kusema fulani ni chaguo la Mungu?
Kitu muhimu sote tujue, risasi hazichagui muislam wala mkristo na kuna tetesi kuna mama wa OCD gani sijui risasi zilimfikia na alikuwa mahututi seliani. Kwahiyo panapotokea machafuko waislam na wakristo wote wataumia kama ilivyo kwa mgao CCM. Chadema, CUF, PPT, UDP, TLP wote wanaipata sawasawa wala huoni wa CCM wakipendelewa kwa hilo.
Mkuu mijitu mingine ukibishana nayo utageuka mwehu....achana nao. Asiyekuelewa katika posts zako ana mtindio kwenye halmashauri ya ubongo wakeUsilete ubishi usiokuwa na manufaa mimi mwislam usinilazimishe kuiamini bakwata labda uwe umetumwa nitakuelewa naijua bakwata ndani nje viongozi wao historia zao tangu enzi za Sheikh Kassim Bin Jumaa kwahiyo mama mida ya mchana hii ni bora uingie jikoni ufanye mambo usishadadie mambo usoyajua.
Point yangu ni kuwa Uislam hauruhusu kudhulum nafsi ya binadam tena hasa mtawala kudhulum nafsi ya anaemtawala. Sasa kama wapo masheikh wamehalalisha itakuwa kwa kupewa chochote kwani hamkumbuki hata hao wanaokemea uovu sasa walipaza sauti na kusema fulani ni chaguo la Mungu?
Kitu muhimu sote tujue, risasi hazichagui muislam wala mkristo na kuna tetesi kuna mama wa OCD gani sijui risasi zilimfikia na alikuwa mahututi seliani. Kwahiyo panapotokea machafuko waislam na wakristo wote wataumia kama ilivyo kwa mgao CCM. Chadema, CUF, PPT, UDP, TLP wote wanaipata sawasawa wala huoni wa CCM wakipendelewa kwa hilo.
Katika hali inayoonesha kuwa lengo lao ni kuwajibu Maaskofu wa ARUSHA, Viongozi wa dini ya Kiislam wamesema wanamtambua Meya wa ARUSHA na watampa Ushirikiano wote.
Haya sasa Mary Chitanda (Chanzo cha yote), tukusikie ukiwaambia Mashekh nao wavue Kobaz, Misuli, Kanzu, vilemba na Balaghashia (Kama ulivyowaambia Maaskofu wavue Majoho sijui ulikuwa unataka wabaki Uchi) na kuingia ulingo wa SIASA.
Au ulikuwa unamaanisha kuingilia kwao siasa ni kwenda kinyume na matakwa ya CCM
Usilete ubishi usiokuwa na manufaa mimi mwislam usinilazimishe kuiamini bakwata labda uwe umetumwa nitakuelewa naijua bakwata ndani nje viongozi wao historia zao tangu enzi za Sheikh Kassim Bin Jumaa kwahiyo mama mida ya mchana hii ni bora uingie jikoni ufanye mambo usishadadie mambo usoyajua.
Point yangu ni kuwa Uislam hauruhusu kudhulum nafsi ya binadam tena hasa mtawala kudhulum nafsi ya anaemtawala. Sasa kama wapo masheikh wamehalalisha itakuwa kwa kupewa chochote kwani hamkumbuki hata hao wanaokemea uovu sasa walipaza sauti na kusema fulani ni chaguo la Mungu?
Kitu muhimu sote tujue, risasi hazichagui muislam wala mkristo na kuna tetesi kuna mama wa OCD gani sijui risasi zilimfikia na alikuwa mahututi seliani. Kwahiyo panapotokea machafuko waislam na wakristo wote wataumia kama ilivyo kwa mgao CCM. Chadema, CUF, PPT, UDP, TLP wote wanaipata sawasawa wala huoni wa CCM wakipendelewa kwa hilo.
Mkuu mijitu mingine ukibishana nayo utageuka mwehu....achana nao. Asiyekuelewa katika posts zako ana mtindio kwenye halmashauri ya ubongo wake
am not sure...but akili yangu inanituma watanzania sasa mbegu ya udini inanza kuchipua kwenye mioyo yetu..the way pipo zinavyochangia mada yenye mwelekeo wa kidini hasa matamko ya viongozi wa kidin....it seems kila mtu anavutia upande wake(dini anayoiamini ) tunaelekea wapi bandugu????????????
Katika hali inayoonesha kuwa lengo lao ni kuwajibu Maaskofu wa ARUSHA, Viongozi wa dini ya Kiislam wamesema wanamtambua Meya wa ARUSHA na watampa Ushirikiano wote.
Haya sasa Mary Chitanda (Chanzo cha yote), tukusikie ukiwaambia Mashekh nao wavue Kobaz, Misuli, Kanzu, vilemba na Balaghashia (Kama ulivyowaambia Maaskofu wavue Majoho sijui ulikuwa unataka wabaki Uchi) na kuingia ulingo wa SIASA.
Au ulikuwa unamaanisha kuingilia kwao siasa ni kwenda kinyume na matakwa ya CCM
michelle, siku zote argument zako ni smart , imekuwaje tena hapa ukatelezaHoja yako ni nini hapo?lione kwanza kubwa zima............................lina mtindio wa ubongo ndo maana linatusi watu ovyo!
Katika hali inayoonesha kuwa lengo lao ni kuwajibu Maaskofu wa ARUSHA, Viongozi wa dini ya Kiislam wamesema wanamtambua Meya wa ARUSHA na watampa Ushirikiano wote.
Haya sasa Mary Chitanda (Chanzo cha yote), tukusikie ukiwaambia Mashekh nao wavue Kobaz, Misuli, Kanzu, vilemba na Balaghashia (Kama ulivyowaambia Maaskofu wavue Majoho sijui ulikuwa unataka wabaki Uchi) na kuingia ulingo wa SIASA.
Au ulikuwa unamaanisha kuingilia kwao siasa ni kwenda kinyume na matakwa ya CCM
michelle, siku zote argument zako ni smart , imekuwaje tena hapa ukateleza
michelle, siku zote argument zako ni smart , imekuwaje tena hapa ukateleza