Mc Kihiga
Member
- Mar 17, 2011
- 36
- 3
Mimi ni Mgeni kabisa ktk uwanjaa huu wa {JF} nashukuru sana kwa uwepo wa safu hii.
Ndugu zangu mimi nimefikiri sana kuhusu hawa Ma-Rais wastaafu ktk Bara letu {Africa} especially TZ kwa fikra zangu binafsi ningependa sana baada ya kutawala kwa awamu yake basi na kustaafu basi asiwe tena Mwanasiasa astaafu pia siasa kabisa kwa nini;
i} Kulinda heshima yake baada ya kutumikia Wanachi wake.
ii}Wananchi aliokuwa akiwatumikia si wa chama kimoja na bali ni Raia wote ndiyo maana akaitwa Rais wa Tanzania.
iii}Atakuwa ni Mzee wa Taifa hivyo itamuwezesha kutatua matatizo ya ndani ya Nchi bila kushakiwa huku akisikilizwa na jamii yote nk.
Ndugu zangu mimi nimefikiri sana kuhusu hawa Ma-Rais wastaafu ktk Bara letu {Africa} especially TZ kwa fikra zangu binafsi ningependa sana baada ya kutawala kwa awamu yake basi na kustaafu basi asiwe tena Mwanasiasa astaafu pia siasa kabisa kwa nini;
i} Kulinda heshima yake baada ya kutumikia Wanachi wake.
ii}Wananchi aliokuwa akiwatumikia si wa chama kimoja na bali ni Raia wote ndiyo maana akaitwa Rais wa Tanzania.
iii}Atakuwa ni Mzee wa Taifa hivyo itamuwezesha kutatua matatizo ya ndani ya Nchi bila kushakiwa huku akisikilizwa na jamii yote nk.