bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,354
Mimi ni mwajiliwa kwenye kampuni ya mwekezaji hapa Tanzania, mkataba wangu unasema km nitataka kuresign nitoe notice period yamwezi mmoja au nitoe mshahara wangu mzima wa mwezi mmoja km sitaweza kutoanotice ya mwezi mzima. Je kuna madhara gani kama nikipewa mshahara wangu tarehe25 ambapo ndo mshahara unatoka then kesho yake nikatoa resignation ya siku tanokwa ajili ya handover na pia nisiwalipe mshahara wangu wa mwezi mzima nikaondoka zangu? Na bear in mindthat sehemu nayoenda kufanya kazi wanatumuia NSSF so sitahitaji kuichuantaiendelezea huko ntakapokwenda kufanya kazi.