ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
kuwa she ni tatizo?
Wapi ambapo hujailewa mkuu?
Siyo tatizo ni kwamba nimeshangaa mana siku zote nlikua najua ww ni me. sijaelewa hapo uliposema toke primary, secondary mpaka umepata kazi hujawahi kuchakachuliwa .......ndio nikauliza YALIYOMO YAMO mpaka sahv?!! na kuna mwingine hapo juu akakuuliza TUTAJUAJE kama ni kweli hujawahi .......