Ma HR jamani....

Asilimia 95 ya the so called "wanawake wa maofisini" regardless ana cheo gani wanafanya ngono na wafanyakazi wenzao wa kiume... Kwahiyo CTU, piga moyo konde, maisha ndivyo yalivyo...

Source: Mimi mwenyewe - baada ya kuafanya utafiti wa miaka 20!

Ni kweli. Hakuna watu wanaoongoza kwa kuchapana kama wafanyakazi wa maofisini!
 
kwanza pole sana

pili kumegwa ni uamuzi wa mtu, wangapi tuna kazi nzuri hatujawahi kumegwa kuanzia mashuleni hadi kwenye ajira na vyeo tunapanda?
mwanamke anayekubali kumegwa 1. amemtamani hr 2. hajithamini utu wake 3. hajiamini 4.amezoea kugawa ili apate favour fulani

wangapi wana shida ya ajira lakini hawamegwi?

offtopic: najua kipindi cha kutafuta kazi ni kigumu je ulikuwa unampa sapoti KIMEO?
ulijuaje kuwa hr kamtafuna?
 
kiukweli asilimia kubwa ya ma HR wa maofisini (SIO WOTE) hasa wa kiume wana tabia moja mbaya sana ya kukagua dada zetu hadi kimwili ndio sawa ana shida lakini sio vizuri kuchukua hiyo advantage kwa kuwaharibu watoto wa watu ninaongea hivi kwa hasira coz wameshanimegea kimeo changu juzi kati inauma sana kwakweli

Hiko kimeo hakina mapenzi ya dhati na wewe, kisingekubali kudhalilika na kukudhalilisha wewe kwa sababu ya kazi .....
 
kwanza pole sana

pili kumegwa ni uamuzi wa mtu, wangapi tuna kazi nzuri hatujawahi kumegwa kuanzia mashuleni hadi kwenye ajira na vyeo tunapanda?
mwanamke anayekubali kumegwa 1. amemtamani hr 2. hajithamini utu wake 3. hajiamini 4.amezoea kugawa ili apate favour fulani

wangapi wana shida ya ajira lakini hawamegwi?

offtopic: najua kipindi cha kutafuta kazi ni kigumu je ulikuwa unampa sapoti KIMEO?
ulijuaje kuwa hr kamtafuna?


Tutajuaje..;)
 
Hiko kimeo hakina mapenzi ya dhati na wewe, kisingekubali kudhalilika na kukudhalilisha wewe kwa sababu ya kazi .....

Msiwalaumu wadada jamani

Ajira zimekuwa ngumu ,unakuta mdada alimaliza chuo mwaka 2006 hii 2012 anahaingaika tu hapati kazi ,kutopata kazi kunamfanya hata wanaume hapati kwa kuwa anaonekana amechoka anashindwa kuji maintain.Sasa afanyaje na yeye alikuja DSM kusoma na toka wakati huo anaunga unga kwa ndugu , ndugu wenyewe wamemchoka wanataka aondoke hata leo arudi kwao kijijini akaendeleze kilimo kwanza.
 
kwanza pole sana

pili kumegwa ni uamuzi wa mtu, wangapi tuna kazi nzuri hatujawahi kumegwa kuanzia mashuleni hadi kwenye ajira na vyeo tunapanda?
mwanamke anayekubali kumegwa 1. amemtamani hr 2. hajithamini utu wake 3. hajiamini 4.amezoea kugawa ili apate favour fulani

wangapi wana shida ya ajira lakini hawamegwi?

offtopic: najua kipindi cha kutafuta kazi ni kigumu je ulikuwa unampa sapoti KIMEO?
ulijuaje kuwa hr kamtafuna?

Wewe dada una akili sana. Would mind if I take you out for a dinner date tonight? :)
 
kiukweli asilimia kubwa ya ma HR wa maofisini (SIO WOTE) hasa wa kiume wana tabia moja mbaya sana ya kukagua dada zetu hadi kimwili ndio sawa ana shida lakini sio vizuri kuchukua hiyo advantage kwa kuwaharibu watoto wa watu ninaongea hivi kwa hasira coz wameshanimegea kimeo changu juzi kati inauma sana kwakweli

hahahahah
poleee
 
MPENDWA ! Na iwe hivyo usemavyo but, pigia mstari kwamba hiyo kitu uisemayo kwa initial K ma'ladies hawakuwekewa pale kwa matumizi yao! Users are male FULL-STOP ! Mf. Matiti ya Ng'ombe hayapo pale yalipo kwa matumizi yake!
Ni kwa ajili ya Ndama na Binadamu ndiyo wanywao maziwa! Mwenyewe hanywi ! Tafakari!

hata wanaume hawakuwekewa mb**kwa matumiz yao? Unatok on bhalf ov sex, wot bout othr stuf kama kukojoa? Na2mia ya nani? Si pia ni matumiz yangu.
 
kiukweli asilimia kubwa ya ma HR wa maofisini (SIO WOTE) hasa wa kiume wana tabia moja mbaya sana ya kukagua dada zetu hadi kimwili ndio sawa ana shida lakini sio vizuri kuchukua hiyo advantage kwa kuwaharibu watoto wa watu ninaongea hivi kwa hasira coz wameshanimegea kimeo changu juzi kati inauma sana kwakweli

Si kinataka kazi nzuri? Lazima kikaguliwe ndipo kipate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom