C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Kiukweli asilimia kubwa ya ma HR wa maofisini (SIO WOTE) hasa wa kiume wana tabia moja mbaya sana ya kukagua dada zetu hadi kimwili ndio sawa ana shida lakini sio vizuri kuchukua hiyo advantage kwa kuwaharibu watoto wa watu.
Ninaongea hivi kwa hasira coz wameshanimegea kimeo changu juzi kati inauma sana kwakweli
Ninaongea hivi kwa hasira coz wameshanimegea kimeo changu juzi kati inauma sana kwakweli