mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
Je Kitilya wa TRA au Kimei wa CRDB au Mchechu wa NHC au Ali Mufuruki au Ami Mpungwe au yule bosi wa PPF wangefaa kuwa mawaziri?
Je wizara zipi zingewafaa?
Aaahhh wote wezi hao hamna ceo hata mmoja safi na ushahidi upo mwingi tuu