Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,732
- Thread starter
- #41
Pamoja sana wakuu......inabidi Kamanda huyu apate ofisi walau inayoeleweka. Ana documents Nyingi muhimu.
KaskaziniZiwa. Tehe! Magamba bana!Nauliza, hivi Biharamulo iko Kanda gani wajameni? Ritz, Ribo et al naomba mnijibu.
imegoma bana
makamanda sijaelewa kidogo, ni kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa au? naomba niwekwe sawa kidogo
VUA UKADA, VAA UKAMANDA.
Opreration vunja :lock1:.
Ni heri Lema awe mbunge kwa usalama na afya ya ccm.
Ta Muganyizi katika mikutano ya M4C naona huwa kuna bakuli linapita kwa ajili ya kuwezesha operesheni hii, nashauri chama kiandae utaratibu wa kutengeneza makusanyo ya fedha hizo na matumizi yake kwa uwazi, pesa yeyote ya umma ni vema kuwe na accounting mechanism kwa umma ili kuonyesha nguvu ya umma kweli, umma unapaswa Kuwa na taarifa ya mapato na matumizi kuondoa maneno ya chini chini.
Lolita Tika hili itakuwa rahisi hata ku ha biaya zaidi kuhudumi ukosefu wa vifaa vya chama. Huu ni wakati wa KUA za kutenda tuna HO yu iri wakuu zangu. Kila la kheri makamanda... Maana kile la juzi kuhusu viongozi kutumia MA-VX laweza kuyumbisha imani ya Wana chama.