Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,970
Umati huu ulihudhuria mkutano wa M4C mjini sumbawanga leo tarehe 27 july 2012. Pinda na wenzie wana haki ya kulalamika kwa CDM kwenda kwenye 'majimbo yao'.
Big up sana kamanda Heche. Hii ndio kazi tunayoitarajia kutoka kwa makamanda wote wa Chadema kwa sasa, kujenga na kuimarisha chama. Muda muafaka utakapowadia wa uchaguzi, kila mmoja atapimwa kwa mavuno aliyoleta ghalani, si kwa mitafaruku aliyoleta chamani.