M4C London - Mkutano mkubwa wa CHADEMA London

Chilisosi

JF-Expert Member
Oct 19, 2008
3,051
747
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA KINAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO LONDON NA SEHEMU ZA JIRANI KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO WA UFUNGUZI WA TAWI LA CHADEMA LONDON. TAWI AMBALO LITAFUNGULIWA NA MHESHIMIWA GODBLESS LEMA

UFUNGUZI HUO UTAFANYIKA THATCHED HOUSE PUB ILIYOPO BARKING SIKU YA JUMANNE 07/08/2012 AT 20:00 SAA MBILI USIKU.

KATIKA MKUTANO HUO PIA WATACHAGULIWA VIONGOZI MBALI MBALI WA CHADEMA TAWI LA LONDON .

TUNAWAOMBA WANA CHADEMA WOTE WAJITOKEZE KWA WINGI KUJA KUHUDHURIA TUKIO HILI LA KIHISTORIA.

Venue ; Thatched House Pub

RIPPLE ROAD, BARKING, ESSEX, IG11 9PG


MKUTANO WA CHADEMA LONDON



M4C LONDON
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA KINAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO LONDON NA SEHEMU ZA JIRANI KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO WA UFUNGUZI WA TAWI LA CHADEMA LONDON. TAWI AMBALO LITAFUNGULIWA NA MHESHIMIWA GODBLESS LEMA
UFUNGUZI HUO UTAFANYIKA THATCHED HOUSE PUB ILIYOPO BARKING SIKU YA JUMANNE 07/08/2012 AT 20:00 SAA MBILI USIKU.
KATIKA MKUTANO HUO PIA WATACHAGULIWA VIONGOZI MBALI MBALI WA CHADEMA TAWI LA LONDON .
TUNAWAOMBA WANA CHADEMA WOTE WAJITOKEZE KWA WINGI KUJA KUHUDHURIA TUKIO HILI LA KIHISTORIA
 
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA KINAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO LONDON NA SEHEMU ZA JIRANI KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO WA UFUNGUZI WA TAWI LA CHADEMA LONDON. TAWI AMBALO LITAFUNGULIWA NA MHESHIMIWA GODBLESS LEMA

UFUNGUZI HUO UTAFANYIKA THATCHED HOUSE PUB ILIYOPO BARKING SIKU YA JUMANNE 07/08/2012 AT 20:00 SAA MBILI USIKU.

KATIKA MKUTANO HUO PIA WATACHAGULIWA VIONGOZI MBALI MBALI WA CHADEMA TAWI LA LONDON .

TUNAWAOMBA WANA CHADEMA WOTE WAJITOKEZE KWA WINGI KUJA KUHUDHURIA TUKIO HILI LA KIHISTORIA.

Venue ; Thatched House Pub

RIPPLE ROAD, BARKING, ESSEX, IG11 9PG
As it occurred to you some are in ramadan halafu unawaambia waende pub tena kabla muda wa futari au?
 
As it occurred to you some are in ramadan halafu unawaambia waende pub tena kabla muda wa futari au?
Kaka mkutano utaanza saa mbili na kama ujuavyo sie watanzania ni kawaida yetu kufika masaa mawili late hivyo watu watakuwa wameisha futuru by then. kuhusu venue ile ndio sehemu rahisi kufikika london na sehemu nyingi on week days parking huwa zinasumbua ndio maana tukachagua hapo. pia kumbuka wakati wa weekday ile pub ni kama hoteli ya vyakula tu watu huwa hawanywi pombe on tuesday bro
 
Kaka mkutano utaanza saa mbili na kama ujuavyo sie watanzania ni kawaida yetu kufika masaa mawili late hivyo watu watakuwa wameisha futuru by then. kuhusu venue ile ndio sehemu rahisi kufikika london na sehemu nyingi on week days parking huwa zinasumbua ndio maana tukachagua hapo. pia kumbuka wakati wa weekday ile pub ni kama hoteli ya vyakula tu watu huwa hawanywi pombe on tuesday bro
Ok i was just thinking out aloud on the circumstances, apparently mmeshalifikilia usiku mwema.
 
Ukweli husemwa:

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA KINAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO LONDON NA SEHEMU ZA JIRANI KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO WA UFUNGUZI WA TAWI LA CHADEMA LONDON. TAWI AMBALO LITAFUNGULIWA NA MHESHIMIWA GODBLESS LEMA

UFUNGUZI HUO UTAFANYIKA THATCHED HOUSE PUB ILIYOPO BARKING SIKU YA JUMANNE 07/08/2012 AT 20:00 SAA MBILI USIKU.

KATIKA MKUTANO HUO PIA WATACHAGULIWA VIONGOZI MBALI MBALI WA CHADEMA TAWI LA LONDON .

TUNAWAOMBA WANA CHADEMA WOTE WAJITOKEZE KWA WINGI KUJA KUHUDHURIA TUKIO HILI LA KIHISTORIA.

Venue ; Thatched House Pub

RIPPLE ROAD, BARKING, ESSEX, IG11 9PG


Watanzania kwa uchakachuaji. Jamani, Hata mualiko wa wananchi nao unachakachua.

Kwa nini usiseme tu ni mkutano.

Hata form za uongozi hazijatolewa achilia mbali kuwa na office. Kiongozi atafunguaje tawi kwenye Pub. CHADEMA is smart than this nonsense.

Tunaomba msije mkamuingiza mkenge kiongozi ili baadaye aje onekana kama hana Hekima.

Kuna jamii alikuwa na thread humu leo na alikuwa anasema mkutano unaendelea na kulikuwa na watu zaidi ya sabini wakati ni uongo wa hali ya juu kwa wapenda demokrasia nchini. Why lie?.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA KINAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO LONDON NA SEHEMU ZA JIRANI KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO WA UFUNGUZI WA TAWI LA CHADEMA LONDON. TAWI AMBALO LITAFUNGULIWA NA MHESHIMIWA GODBLESS LEMA

UFUNGUZI HUO UTAFANYIKA THATCHED HOUSE PUB ILIYOPO BARKING SIKU YA JUMANNE 07/08/2012 AT 20:00 SAA MBILI USIKU.

KATIKA MKUTANO HUO PIA WATACHAGULIWA VIONGOZI MBALI MBALI WA CHADEMA TAWI LA LONDON .

TUNAWAOMBA WANA CHADEMA WOTE WAJITOKEZE KWA WINGI KUJA KUHUDHURIA TUKIO HILI LA KIHISTORIA.

Venue ; Thatched House Pub

RIPPLE ROAD, BARKING, ESSEX, IG11 9PG

Hizo Pub za Wascotland muda wote makampuni ya bia yanafanya promotion kwa ajili ya Olympics ni kulewa tu siku hiyo...na wana Chadema ambao watakuwa wamefunga itakuaje.
 
Hizo Pub za Wascotland muda wote makampuni ya bia yanafanya promotion kwa ajili ya Olympics ni kulewa tu siku hiyo...na wana Chadema ambao watakuwa wamefunga itakuaje.

Hivi hakuna watu wanaoratibu safari? Kwani hili tawi lilikuwa na haraka gani kufunguliwa ndani ya mwezi mtukufu? watasema ni udini lakini tunataka watanzania wote wapate fursa hii muhimu.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Ukweli husemwa:


Kwani wakati mnapanga huu mkutano hamkujua kama kuna watanzania ambao tuko kwenye mfungo wa Ramadan. Hamkujua kama saa hizo zitakuwa zinaingiliana na muda wa futari. Halafu cha kushangaza jibu lako eti watanzania hawaendi na wakati. Ukisema saa mbili wanakuja saa nne. Really?. Watu wasiomakini katika chama kama ninyi mliopanga huu mkutano ndiyo mnaokisababisha chama kuwa na wakati mgumu kujibu tuhuma chafu zinazotumiwa na vyama vingine vya siasa kuwa Chama kina misingi ya Kidini.

Mmepanga bila kuwafikilia waislamu ambao wako kwenye mfungo wa ramadan.

Please, change the time.
 
Ukweli husemwa:




Watanzania kwa uchakachuaji. Jamani, Hata mualiko wa wananchi nao unachakachua.

Kwa nini usiseme tu ni mkutano.

Hata form za uongozi hazijatolewa achilia mbali kuwa na office. Kiongozi atafunguaje tawi kwenye Pub. CHADEMA is smart than this nonsense.

Tunaomba msije mkamuingiza mkenge kiongozi ili baadaye aje onekana kama hana Hekima.

Kuna jamii alikuwa na thread humu leo na alikuwa anasema mkutano unaendelea na kulikuwa na watu zaidi ya sabini wakati ni uongo wa hali ya juu kwa wapenda demokrasia nchini. Why lie?.

Kaka ukumbuke hakuna tawi la chadema london na ndio maana tumeamua kufanya huu mkutano ili wanachama waweze kuchagua viongozi na kufungua matawi ambayo yatafunguliwa sehemu mbali mbali UK. Hio Bbar ina sehemu ya mikutano kama hoteli nyingine zozote. Ukumbuke tuko kwenye nchi ambayo ina tamaduni zake na huku pub ni kitu cha kawaida.
Anyway utake usitake matawi yanafunguliwa kama imekuuma kaseme
 
Ukweli husemwa:


Kwani wakati mnapanga huu mkutano hamkujua kama kuna watanzania ambao tuko kwenye mfungo wa Ramadan. Hamkujua kama saa hizo zitakuwa zinaingiliana na muda wa futari. Halafu cha kushangaza jibu lako eti watanzania hawaendi na wakati. Ukisema saa mbili wanakuja saa nne. Really?. Watu wasiomakini katika chama kama ninyi mliopanga huu mkutano ndiyo mnaokisababisha chama kuwa na wakati mgumu kujibu tuhuma chafu zinazotumiwa na vyama vingine vya siasa kuwa Chama kina misingi ya Kidini.

Mmepanga bila kuwafikilia waislamu ambao wako kwenye mfungo wa ramadan.

Please, change the time.

Nakubaliana na wewe.
Lakini saa mbili ndio milango inafunguliwa na saa nne ndio mkutano utaanza rasmi.
Tafadhali usiingize mambo ya kidini kwenye siasa sio vizuri huu ni mwezi wa toba na haitakiwi kujihusisha na mabishano yoyote ambayo yanaweza kuharibu funga ya mtu please.
 
Kaka ukumbuke hakuna tawi la chadema london na ndio maana tumeamua kufanya huu mkutano ili wanachama waweze kuchagua viongozi na kufungua matawi ambayo yatafunguliwa sehemu mbali mbali UK. Hio Bbar ina sehemu ya mikutano kama hoteli nyingine zozote. Ukumbuke tuko kwenye nchi ambayo ina tamaduni zake na huku pub ni kitu cha kawaida.
Anyway utake usitake matawi yanafunguliwa kama imekuuma kaseme

Ukweli husemwa:

Tamaduni gani zinazozuia mkusanyiko wa watu kwa UK. Uingeleza ninayoijua siyo hiyo unayoingelea. Kuna kumbi nyingi za halmashauri mbalimbali London na hata makanisa yaliyokosa waumini na yamegeuzwa kuwa kumbi ni mengi tu ambayo unaweza kukodisha kwa bei ndogo. Why you choosen a Pub halafu ni muda wa futari.

Halafu, utachaguaje viongozi bila ya kuwa na office. Are you serious?
 
Watanzania sidhani kama akili zetu ziko sawa, hivi kufungua matawi nje ya nchi kuna umuhimu gani? Kuna sehemu nyingi sana nchini za kufungua matawi sasa sioni sababu ya kupeleka huu uchizi kwenye nchi za watu, tena utakuta eti wanafungua matawi kwenye gereji au kwenye pub, ndo maana wazungu wanatudhalau kila siku. Kwa spidi hii sidhani kama kuna mategemeo tena ya watz wallio nje kuijenga nchi yao maana hii ni miladi yao kujipatia riziki, ndo maanna naichukia sana siasa, yani sioni kama kuna chama cha siasa kitakachoikomboa nchi yetu. Walianza ccm, chadema nao wamefuata, what a stupid idea is that. Kama tuna nia ya kuisaidia nchi yetu tupeleke miradi kule kusiendekeze njaa kwenye nchi za watu
 
Watanzania sidhani kama akili zetu ziko sawa, hivi kufungua matawi nje ya nchi kuna umuhimu gani? Kuna sehemu nyingi sana nchini za kufungua matawi sasa sioni sababu ya kupeleka huu uchizi kwenye nchi za watu, tena utakuta eti wanafungua matawi kwenye gereji au kwenye pub, ndo maana wazungu wanatudhalau kila siku. Kwa spidi hii sidhani kama kuna mategemeo tena ya watz wallio nje kuijenga nchi yao maana hii ni miladi yao kujipatia riziki, ndo maanna naichukia sana siasa, yani sioni kama kuna chama cha siasa kitakachoikomboa nchi yetu. Walianza ccm, chadema nao wamefuata, what a stupid idea is that. Kama tuna nia ya kuisaidia nchi yetu tupeleke miradi kule kusiendekeze njaa kwenye nchi za watu

Kumbuka UK kuna watanzania wengi wanasoma huku , pia kuna watanzania wengi wanaoishi huku ndio maana nchi ikawa na ubalozi
 
Huku majuu Box linapigwa 24/7,
Halijali Ijumaa wala Jumapili,
Waliofunga wanapiga Box kama kawa,
labda tu wachukue likizo.
Kufunga ni juu yako mwenyewe.
Utukufu wa mwezi ni juu yako mwenyewe.

Kimsingi hakuna tatizo hata kidogo.
Labda liwe MANUFACTURED ARTIFICIALLY.
 
CCM walipofungua tawi London ilikua HARUSI,
CHADEMA wanafungua tawi London ni MATANGA?


Watanzania sidhani kama akili zetu ziko sawa, hivi kufungua matawi nje ya nchi kuna umuhimu gani? Kuna sehemu nyingi sana nchini za kufungua matawi sasa sioni sababu ya kupeleka huu uchizi kwenye nchi za watu, tena utakuta eti wanafungua matawi kwenye gereji au kwenye pub, ndo maana wazungu wanatudhalau kila siku. Kwa spidi hii sidhani kama kuna mategemeo tena ya watz wallio nje kuijenga nchi yao maana hii ni miladi yao kujipatia riziki, ndo maanna naichukia sana siasa, yani sioni kama kuna chama cha siasa kitakachoikomboa nchi yetu. Walianza ccm, chadema nao wamefuata, what a stupid idea is that. Kama tuna nia ya kuisaidia nchi yetu tupeleke miradi kule kusiendekeze njaa kwenye nchi za watu
 
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA KINAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO LONDON NA SEHEMU ZA JIRANI KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO WA UFUNGUZI WA TAWI LA CHADEMA LONDON. TAWI AMBALO LITAFUNGULIWA NA MHESHIMIWA GODBLESS LEMA

UFUNGUZI HUO UTAFANYIKA THATCHED HOUSE PUB ILIYOPO BARKING SIKU YA JUMANNE 07/08/2012 AT 20:00 SAA MBILI USIKU.

KATIKA MKUTANO HUO PIA WATACHAGULIWA VIONGOZI MBALI MBALI WA CHADEMA TAWI LA LONDON .

TUNAWAOMBA WANA CHADEMA WOTE WAJITOKEZE KWA WINGI KUJA KUHUDHURIA TUKIO HILI LA KIHISTORIA.

Venue ; Thatched House Pub

RIPPLE ROAD, BARKING, ESSEX, IG11 9PG

Hongereni sana kwa kazi nzuri.Mungu awatie nguvu.
 
Nashauri tawi lisifunguliwe kwa sasa. Lema awe na mkutano na wana London kuwaeleza mstakabali wa nchi yetu na wana Londoni watoe mawazo yao. Swala la kufungua tawi linahitaji maandali.

WANA CHADEMA UK, kaeni chini na Lema siku hiyo ya J'nne badirishaneni mawazo, harafu ufunguzi fanyeni later this year. Jaribuni kuwasiliana na uongozi wa CHADEMA USA, Muone wenzenu walifanyaje. Wanaweza kuwapa ushauri mzuri sana. chademablog.blogspot.com

Swala lakufungua tawi sio dogo.
 
Hizo Pub za Wascotland muda wote makampuni ya bia yanafanya promotion kwa ajili ya Olympics ni kulewa tu siku hiyo...na wana Chadema ambao watakuwa wamefunga itakuaje.
watafuturishwa,kuhusiana na pombe,inawezekana ni ukumbi tu,mkutano ukifanyika sea cliff watu wanalala na kunywa pombe hapo?think,think ma friend...
 
Back
Top Bottom