yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,102
hepu nieleweshe vizuri sehemu ya mkutano ingawa Nassari mpaka sasa tuko nae hapa Haradali kwenye graduation.Chinga na wale wachzi bado wako kisongo, ila Jiranii yuko mtaani
hepu nieleweshe vizuri sehemu ya mkutano ingawa Nassari mpaka sasa tuko nae hapa Haradali kwenye graduation.Chinga na wale wachzi bado wako kisongo, ila Jiranii yuko mtaani
ngoja nianze kupangilia ratiba yangu..
Ninyi mnawakosesha watu usingizi, maana wanapoelekeza nguvu Iringa, wengine wanatifua vumbi Arusha. Mwaka huu hakuna kulala.
Siyo kitu cha kuuliza mkuu...