M4C, Lema kuiteka Moshi kesho

Lema go Lema go, hata nyumba yako yapasa kuisafisha mara nyingi kadri inavyowezekana! Moshi yetu, lakini bado twaihitaji saana, tena mno.
 
M4C inaishia manispaa tu?vp Moshi vijijini?mnatutenga na hii treni ya ukombozi eeee?
 
Sijawahi kukutana na mpuuzi wa aina yako maishani mwangu.Kwenu kuna kasoro gani? nyie ndio mnaosema bora mngezaliwa paka au mbwa Ulaya.Peleka changamoto iliyoifanya Moshi ifike pale kwenu si kudandia nakutamani vya wengine.Bureeeee kabisa wewe!

Changamoto ya kwanza ni kumkataa mkoloni mweusi (magamba)jimboni kwake na hakika mafanikio atayaona kwa kuelekezwa na akili kubwa.
 
Ukweli ni kuwa watu wa Moshi ni majasiri na wasiogopa watawala wa magamba.
Pamoja na hujuma za watawala dhidi ya Mji wa Moshi ,kwa kipindi kirefu, hasa katika utawala wa Mkapa, akilipiza hasira za kukosa kura Moshi aliamua kuutenga mji huo kimandeleo.
Watu wa Moshi wamelipa gharama ya kuwakataa magamba bila kutetereka na wameonyesha mfano kwa wale wote wanaotamani kuona na kuleta mabadiliko ya kiutawala hapa chini.
 
wananchi wengine wa mikoa mingine tuige kutoka moshi,tuifungue minyororo ya ccm tuwe huru na kupata maendeleo kwa kuunga mkono movement 4 change.
 
huku ni kupoteza resource za chama M4C Zielekezwe,Tabora, Lindi, Mtwara, Ruvuma, pemba ,Unguja Moshi walishaamka ndio maana jimbo la moshi mjini tangu kuasisiwa kwa vyama vingi ni la upinzani!Pelekeni nguvu kwingine, aliye mzima hahitaji tabibu!
 
Back
Top Bottom