Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Kwa jinsi upepo unavyokwenda, naanza kuiona Movement for Change ikiibomoa CCM mda si mrefu. Hawa wakuu hawako mbali sana kujiunga na M4C. nadhani Zitto atakuwa anaratibu mchakato huu.
Nape Nnauye
Janauary Makamba
Faustine Ndugulile
Deo Filikunjombe
Samuel Sitta
Edward Lowasa
Harisson Mwakyembe
....
...
....
ongezea wengine kama unakubaliana na M4C japo hao kwenye bold sioni wakikubaliwa kujiunga na M4C.
Nape Nnauye
Janauary Makamba
Faustine Ndugulile
Deo Filikunjombe
Samuel Sitta
Edward Lowasa
Harisson Mwakyembe
....
...
....
ongezea wengine kama unakubaliana na M4C japo hao kwenye bold sioni wakikubaliwa kujiunga na M4C.