LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Katika harakati inayojulikana hv M4C ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo inayoongozwa na Kamanda G. Lema imendelea kuwarudishia matumaini wanainchi waliopoteza matumaini na chama tawala.
Harakati hiyo ya ukombozi inayoendelea ktk Wilaya ya Magu Mh. G Lema imeendelea kuwakusanya maelfu ya Wanainchi wengi sana na ndipo Katibu wa Wilaya kwa chama cha Wanainchi CUF Mh. Dominick Ng'honela Bubeshi kuvua gamba na kuvaa gwanda la chama cha CDM.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo hakika wamepata jembe lingine kali sana,Magu CHADEMA inasonga mbele hakuna wa kuzuia mabadiliko hakika kuzaliwa mtoto huwezi kuzuia na hiyo ni kauli ya Manyanza Stanslaus,Mwasisi wa CHADEMA!
Viva CDM!
Source: Mi mwenyewe!
Harakati hiyo ya ukombozi inayoendelea ktk Wilaya ya Magu Mh. G Lema imeendelea kuwakusanya maelfu ya Wanainchi wengi sana na ndipo Katibu wa Wilaya kwa chama cha Wanainchi CUF Mh. Dominick Ng'honela Bubeshi kuvua gamba na kuvaa gwanda la chama cha CDM.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo hakika wamepata jembe lingine kali sana,Magu CHADEMA inasonga mbele hakuna wa kuzuia mabadiliko hakika kuzaliwa mtoto huwezi kuzuia na hiyo ni kauli ya Manyanza Stanslaus,Mwasisi wa CHADEMA!
Viva CDM!
Source: Mi mwenyewe!