CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Wakuu Leo Mchana Kutakua Na Mkutano wa M4C huku A town na AAgenda kubwa ni Kjadili Maswala yaliyo jitokeza ikiwemo kufungwa kwa Uwanja wa NMC, makamanda wote watakuwepo Kuanzia Mwenyekiti Taifa, Katibu, na na Wapiganaji wengine,
Mkutano utafanyikia Winja vya Kilombero jirani na Soko La Kirombelo na hapo ndo pana weza kuwa Revorution Square Mpya
Mnakaribiswa sana
Mkutano utafanyikia Winja vya Kilombero jirani na Soko La Kirombelo na hapo ndo pana weza kuwa Revorution Square Mpya
Mnakaribiswa sana