jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Kwa muda wa mwezi mmoja nimekuwepo jijini Tanga ,pamoja na mambo mengine nilitumia muda wangu kuwahoji wakazi wa Tanga juu ya muelekeo wa kisiasa.kimsingi inaonekana CHADEMA haijakubalika ndani ya mkoa wa Tanga na mbadala mkubwa wa CCM kwa Tanga ni CUF.
Sasa najiuliza je M4C imeshindwa kushawishi wakazi wa Tanga?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Sasa najiuliza je M4C imeshindwa kushawishi wakazi wa Tanga?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA