Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
Si wasikii kabisa na M4C,hatujaambiwa mafanikio ya ziara walizofanya,hawajasema kama ndo mwisho au..najua shughuli zilisimama wakati wa kifo cha mzee BOB MAKANI(R.I.P) Lakini mbona kimya mpaka leo?
Si wasikii kabisa na M4C,hatujaambiwa mafanikio ya ziara walizofanya,hawajasema kama ndo mwisho au..najua shughuli zilisimama wakati wa kifo cha mzee BOB MAKANI(R.I.P) Lakini mbona kimya mpaka leo?
katibu na mwenyekiti walitaka kuzichapa, kwi kwi kwi teh teh teh!
​wako bungeni safari zinaaza august,vipi zomba wamekuachia milembe?
Acha ushangingi mtoto kiume, umekalia nini ?hadi debe debe?we gamba M4C forever unstopable hadi magogoni wanalifahamu hilo .Safari hii kelele za mlango zinamzuia mwenye nyumba kulala na anajiandaa kuhama nyumbaKatibu na Mwenyekiti walitaka kuzichapa, kwi kwi kwi teh teh teh!