Mawaiba
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 417
- 150
Peopleeeeeez... Power......!!Siku zote mji hauchangamki asubuhi.. Ungekaa hapo hadi mwisho ungeona nini kiluendelea.. Gamba Gamba 2!!! M4C Motooo
Peopleeeeeez... Power......!!Siku zote mji hauchangamki asubuhi.. Ungekaa hapo hadi mwisho ungeona nini kiluendelea.. Gamba Gamba 2!!! M4C Motooo
Pombekali kweli utakuwa unatoka kuzimua Pyysics na hii picha wapi na wapiNifafanulie kwa huyo jamaa mwenye T shirt ya njano aliesimama,picha inakuumbua hiyo,huyai edit vizuri,huo mkono wa kushoto umepotelea wapi? au jamaa ana kipande cha mkono? kwa physics ya form one tu unatambua makosa hapo,KAJIPANGE uje tena Jeykey
Picha imechukuliwa mapema kabla umati haujatinga. Magamba mnashida sn
unachukua upande ambao hauna watu.piga sehemu yote ya uwanja tuoneNimekuja kuamini kuwa chadema kwa Dar es salaam ni kama kuchora kwenye maji Naona lema anaangaika Dar kukusanya watu alikini anatoka patupu sijui inakuwaje chama hakikubaliki Dar es salaam Hebu angalia hizo picha za Lema akiwa Tabata akihutubia watu http://4.bp.blogspot.com/-9ce70Bdqyhc/TixP_L4JigI/AAAAAAAAA0k/dV6fGWsTvNI/s1600/PICT0600.JPG"][/URL]http://1.bp.blogspot.com/-NOfgoDdmWV8/TixYcwNo2eI/AAAAAAAAA18/FVLhcKd1PsM/s1600/PICT0628.JPG"][/URL] http://1.bp.blogspot.com/-Q7A5V54jhk4/TixTrpTWIII/AAAAAAAAA1c/AdPJ_DPLRjA/s1600/PICT0618.JPG"][/URL]
hata slaa pia ana taaluma yake
Mkuu weka za kwako ulizopiga tabata zenye watu wengi.propaganda za aina hii tumezizoea kutoka kwa ccm make wao wanapiga picha wakati watu ndo kwanza wanaanza kwenda mkutanoni au picha zinapigwa upande ambao hauna watu na hizo picha ndo wanaziita za mkutano halisi. hamuwezi kuwadanganya watu wote kwa muda wote
lema anafuata posho aweze kujikimu na familia ana hali mbaya sana
lema anafuata posho aweze kujikimu na familia ana hali mbaya sana
sasa hapo ndo ujiulize maana watu wamechoka kumsikiliza ndo mana hawaji