M23 waua Meja wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) - UN Yalaani!

Hakuna vita vilivyowahi piganwa asifariki hata askari mmoja!. Ni kawaida. Lakini sikuzote kinachoangaliwa ni malengo,lazima yatimie. Naona matumizi ya Comandos na Air strikes ni muhimu yaongezwe kwa hawa m23. By the way,hiyo report imeandikwa ki u shabiki zaidi na ipo imbalanced kwani sijaona kutajwa waliofariki upande wa m23 ambapo taarifa zinasema ni wengi zaidi!. Kama ni kweli,RIP SOLDIER.
 
Jw watapata na uzoefu wa vita,sio miaka nenda rudi wamekaa tu bila exprience.
 
mheshimiwa raisi, warudishe watoto wetu nyumbani. Wafe kwa ajili ya kulinda nchi yao lakini siyo kwenye vita na watu wa kagame

wewe ukoje nani alikwambia wamekwenda kwenye harusi? Kufa au kuua ndiyo kanuni ya kwanza.
 
kwa mwanajeshi kufariki vitani siyo jambo la kushangaza sana! naomba Mungu amlaze mahala pema lkn isiwe sababu ya kusema jeshi letu liondoe wanajeshi congo. lazima m23 wamalizwe drc ili amani irejee na uharibifu wa kagame ushindwe. nguvu za kiuwaji za kagame lazima zidhoofishwe na kusambaratishwa. aluta continua!

Pamoja sana.
 
Kuna jamaa mmoja wa m23 aliandika kwenye mitandao kuwa, wanajeshi wa JWTZ wamekufa wengi tu, alipotoa hiyo taarifa, hawa UN walikuwa bado hawajaeleza kama kuna mwanajeshi yeyote amekufa...

Haya maswala yananitia shaka sana. Sidhani kama kuna swala la muhimu sana linalotupelekea tukapigane vita huko zaidi ya kimbele-mbele tu kinachotupeleka huko....

Umefika wakati kila mtu abebe msalaba wake na sio kutwishana misalaba isiyokuwa na mbele wala nyuma. Mimi naamini, kwa tabia ya viongozi wetu ya kuficha-ficha mambo, unaweza kuta JWTZ wengi tu wanauliwa huko lakini watu wapo kimya tu...

Hakuna sababu ya JWTZ kupigana hiyo vita, na wasifikili kwamba hayo ni mazoezi tu... Hiyo ni Gorilla war....

Mkuu nimesikitishwa na hoja yako; kuliko kufa huku umekaa na kutazama upuuzi wa akina Kagema afadhali kufa mpaka ukweli ujulikane. Mbona hamsemi wao wamekufa wangapi?
 
Mi nilijua UN ndio wamepata msiba kumbe ni watanzania? Yani natamani hawa ma decision makers na politician ndio wangekua frontline kwenye mapambano tuone kama wangekuwa wanafanya maamuzi ya kibinafsi kama haya

hujielewi...hujijui
 
Hakuna vita vilivyowahi piganwa asifariki hata askari mmoja!. Ni kawaida. Lakini sikuzote kinachoangaliwa ni malengo,lazima yatimie. Naona matumizi ya Comandos na Air strikes ni muhimu yaongezwe kwa hawa m23. By the way,hiyo report imeandikwa ki u shabiki zaidi na ipo imbalanced kwani sijaona kutajwa waliofariki upande wa m23 ambapo taarifa zinasema ni wengi zaidi!. Kama ni kweli,RIP SOLDIER.

Yes Mkuu, huyu mwandishi ana matatizo.
 
"I am outraged by today's killing of a United Nations peacekeeper from Tanzania by the M23," said Martin Kobler, the special representative of the secretary-general in Congo, who heads the peacekeeping mission. "He sacrificed his life to protect civilians in Goma."
R.I.P UN peacekeeper from Tanzania.
 
Mkuu hii ni golila war utachezwa mziki kwa miaka mingi sana,msifikiri ni lelemama,wazungu wenyewe hawanashida ya pesa kama waafrika tuna watu wakupoteza wao hawana tatitozo wata kupatia pesa upigane ukifa wao haiwahusu,watanzania ndio walijitia kimbelembele eti wanataka kupambana na m23,haya sasa na picha lenyewe halijaanza,kuna watu wanafikiria kwamba wakitumia nguvu nyingi wataweza kuiondo m23 hapo ni kujidanganya,golila war haimalizi kiurahisi jamaa watakomaa misituni na hawatang'olewa mpaka kieleweke.
 
Mtumishi Wetu;7195033]Inabidi DRC. Watumie air power provided they know the M23 positions!!.Keep it up boys, tunawaombea, mike tunakuombea.
Ugomvi wa wanajeshi wawili- colonel JK na major General Kagame utatufikisha pabaya - wapi amani ya mazungumzo anayotaka wakati kapeleka jeshi vitani?
Acheni propaganda zisizo kuwa na tija..vita hazifai no matter what in the long run we will suffer.
 
Shujaa amefariki alikwenda Vitani siyo Disko R.I.P Shujaa....... Askari wengi pia wa M23 na RDF wameuwawa tangu mapambano yaanze. Aluta Continua hadi utulivu upatikane.
 
JWTZ msikate tamaa, Watanzania halisi tupo nyuma yenu kuwaunga mkono. Rest In Peace Askari.
Wewe mjinga sana Unawaunga mkono ukiwa kwenye keyboard wenzio wanakufa na familia zao kupoteza wapendwa wao
 
Ndugu

Umeongea maneno ya msingi sana kwa sentensi moja tu.

Hivi tunaweza kuhalalisha uwepo wetu huko Congo katikati ya hivi vita kwa vigezo vipi ?

Respect !!!

Kwani upelekaji wa Jeshi kwa kigezo cha kulinda amani mpaka muda huu sijui anayehalalisha ni nani?? Ni mtu au chombo(organ) fulani!! Shida ni Mikopo au nini?? Kuna wanajeshi wamelinda pale miaka mingi tu lakini hatukusikia wanapigana na M23 vipi hawa wa kwetu???
 
For our fallen heroes who gave their life..May you find Peace in the afterlife... Through your works and what you have managed to engrave in our hearts, forever you will live Soldier...
 
Hakuna ulazima wa kupeleka vikosi. Ila ulelekaji wa vikosi vyetu unafaida kwetu, mfano kupata uzoefu wa vita na hata exposure ya kujua askari wa mataifa mengine wanachangamoto zipi

Changamoto za kuuwawa kwa vita isiyo ya kulinda mipaka yetu??? Kuna njia nyingi za kum-displine Kagame mbona zimerukwa na kwenda moja kwa moja kwenye vita!?? Hatujaona vikwazo vya kuzuia silaha au kuzuia kwenda kuombaomba ulaya!!
 
Back
Top Bottom