Invarbrass
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 504
- 111
Hivi wakuu hakuna line isiyo na huu ujinga ujinga wa dash dash PESA ili niwe nasema line yangu haitumagi hela??????????????
Nyie nanyi mnanishangaza. . .Yaani acha tu, hapa nilipo sasa hivi kuna mtu kanishtukiza eti nimtumie hela kapungukiwa na elfu 30 ya kusuka, namtafutia jibu la kimjibu hapa, wadada wanafikiri pesa hazina mipango mda wote, enzi hizo hakuna huu ujinga ilikuwa raha kweli, ngoja nimjibu mtandao haupatikani nazani wameblock my tigo pesa account
tena cku hizi mpaka kenya uganda na ulaya inakamata!!!duh!
teh kwani anakulazimisha yan kujisumbua si unasema tu sitaki au sina!Hivi wakuu hakuna line isiyo na huu ujinga ujinga wa dash dash PESA ili niwe nasema line yangu haitumagi hela??????????????
Ukikitumia kitu vibaya lazima upate athari zake....btw Boss naomba umwambie Lily Flower hapo chini namsalimia sana..muulize kama ana M PESA nimtumie hela ya kununua mchicha nasikia siku hizi umepanda bei fungu linauzwa buku...
mimi nilishakula vichwa vingi saaaana kwa njia hii
ujue inakuwaje
cheki hii
mpesa man: upo smile
smile :nipo my dear
mpesa man:ushakula baby wangu
smile fix: nimefulia dia leo sili
mpesa man:mmmh baby wangu usile na mimi nipo nikufate?
smile: hapana boss yupo siruhusiwi kutoka leo
mpesaman: basi nakutumia hela kidogo ya lunch.
smile:usjali dear usijitese nipo ok
mpesa man:nimekutumia laki moja dear laki si pesa mbonaa?
smile:mmmh thax anyway bye dia
idumu milele huduma ya mpesa na tigo pesa
Ndoa hazivunjiki kwa sababu ya simu, zinavunjika kwa watu kutumia vibaya simu. Huwezi ukamkuta mtu anaetumia simu yake ipasavyo anajikuta matatani kwajili ya simu.
Acheni kusingizia simu na hizo sijui MPESA. . .Kwani mtu anakulazimisha untumie mtu pesa?Kama una akili yako mwenyewe unafanyaje kitu ambacho hupendi tena bila ya kulazimishwa?
mmmm, mtaweza? mnavyopenda kuonekana hamshindwi kitu! kumbe mnatuma huku mnaumia moyoni? ha haaaaa. kwa raha zenu!huu ni ujumbe kwa wanaume
tugome kujiandikisha m pesa na tigo pesa
mimi siku zote hujibu 'bado sija register' niki register nitakutumia lol
tatizo lako wewe umeelewa angle moja tu
wenzio tunazungumzia angle zote
wala kutuma sio tatizo
wapo wanaofurahia pia kutuma na kuhonga kwa njia hii
na wanao hongwa ndo wanapata matatizo
tunazungumzia kwa ujumla wake
ha haaa, unajitetea?sio wote tunaolalamika
usifikiri hapa ni malalamiko
tunaangalia athari kwa ujumla
Kama ilivyo matumizi ya simu yalivyo badili mahusiano
sasa kuna hili la matumizi ya kutumiana pesa kwa njia ya simu
m-pesa,tigo-pesa..airtel money,z pesa na kadhalika.......
je unafikiri mahusiano yame athirika kwa kiasi gani sasa?????
nini kimeongezeka zaidi?faida? au hasara??????
kwa uzoefu wangu wanaume wengi 'wanaona hii teknolojia' imewasaidia wanawake
zaidi since wanaume ndo 'main provider' kwa sehemu kubwa ya jamii....
imekuwa rahisi 'kuchunwa' kwa kupigiwa tu simu na kutakiwa utume pesa....
na wengine wanaona now ni rahisi hata 'kumzidi mtu' maarifa kwa njia hii
na wengine wanaona 'utapeli' wa mapenzi na 'wizi' umerahisishwa......
je wewe waonaje ?
uzoefu wako ukoje kwa hili????????
Ujumla gani??
Unless kuna watu wanatapeliwa/ibiwa bila wao kujua sioni lawama zinatokea wapi maana kwangu hayo mengine ni ya mtu kujitakia na kuendekeza.