M-pesa na Tigo pesa zinavyowabana zinavyowabana wanaume washindwe kukwepa kupigwa mizinga

Mangi Moshi

Member
Jun 21, 2011
22
11
Siku hizi ukiwa na Kisingizio cha kukwepa kupigwa mzinga na wapenda kuomba hela (mabinti) kwa sababu ya kuwa mbali (but within Tanzania) utasikia, "Nitumie basi 20,000/, 50,000/=, 100,000/= kwa M-PESA/TIGO-PESA, nasubiria sasa hivi honey wangu, mwaaaa, i love you baby". Teknolojia hiyo jamani.
 
Back
Top Bottom