jamani naamini teknolojia inakua siku hadi siku...........Mi nataka kujua kama kunauwezekano wa kutumia computer yangu kuwa narusha hela kwenye m-pesa, air tel mone na tigo pesa. kuliko kuendelea kutumia simu kuwarushia wateja wangu. yeyote anaeijua technologia hiyo anisaidie please......