M/kiti wa CUF Kibaha auwawa

Mzee mmoja maarufu wa Vikuge ana kacheo cheo hapo kijijini pamoja na mwanawe (amma wa kumlea amma wa kumfuga) wanashikiliwa na polisi kwa uchunguzi, mmoja aliuwawa baada ya kumrushia risasi la gobole mkazi mwingine maaruf wa hapo Kongowe.

Inasemekana Polisi walikuwa na taarifa mapema za uhalifu kutokea, na walikuwepo hapo hapo karibu na tukio.
 
CCM wanajaribu kuwasha moto ambao kwa hakika hawataweza kuuthibiti wala kuuzima. Ilianza zamani, na kwa siku za karibuni Arusha mjini, Igunga, Ruvuma, Tunduma, Mbeya, Arumeru Mash., Mwanza na sasa Kibaha.

The day when the mass will stop counting their dead, Kikwete& ccm tusilaumiane.
 
M/kiti wa Cuf kibaha ameuwawa ucku wa jana kwa kuvamia na watu wasiopungua kumi na tano wakitumia mapanga. Marehemu alihama ccm na kujiunga na cuf na kuwa mwiba mkali kwa ccm.Ijumaa iliyopita alimweleza jirani yake kuwa anawindwa kuuwawa na wapinzani wake kisiasa. source.mlimani tv.

Hii ndo siasa ya Tanzania? Ccm mmeshajua kuwa 2015 hampo tena madarakani na hamtasikika tena ktk anga la siasa! Kama ni kweli ccm ndo waliofanya hayo mauaji, laani i juu yenu bora muanze kula sasa hivi maana hamtaviona tena. INAUMA SANA! I hate Politics
 
Kila mara nasema, suluhisho ni kuanza kuwaua pia viongozi na makada wa ccm... Jamani tuamke natuanze kuwachinja viongozi wa ccm. Haki uletewi nyumbani kwako, haki inatafutwa...
 
Kila mara nasema, suluhisho ni kuanza kuwaua pia viongozi na makada wa ccm... Jamani tuamke natuanze kuwachinja viongozi wa ccm. Haki uletewi nyumbani kwako, haki inatafutwa...

Hilo ni jambo la msingi sana kwa sasa.Silent kiling to the opposition leaders is no longer tolerable
 
With all fairness,stail hii ya kuchinjana haitatupeka pazuri hata kidogo,na kama vyama vinatumia kama mbinu kupunguza nguvu ya upinzani hii ni mbinu mfu kabisa!shetani huyu na ashindwe vibaya!
 
Walianza kumuua m/kiti wa CHADEMA kule Arumeru baada uchaguzi na sasa huyu m/kiti wa CUF KIBAHA Vijijini, tena wauaji walimwambia sababu ya kifo ni kitendo chake cha kuhama CCM. Jamani hizi chuki za kisiasa ktk nchi yetu zimefikia hapa?. Nadhani ipo haja kwa viongozi wa Upinzani kuyatafutia dawa haya matukio.

Nasikia hawa wajamaa wanamtandao mkali sana, lengo kuwaondio wenyeviti wa upinzani wenye ushawishi ambao wapo karibu na wananchi. Ni ajabu kutoa pesa kwa ajili ya kutafuta madaraka ambayo kuyatumia huwezi kazi na uwizi tu ndicho wanachokiweza.

Ushauri wenyeviti ambao wamekuwa chachu wajitahidi kuwa na marafiki ambao sio wababaishaji.
 
Back
Top Bottom