Lyatonga Mrema, Waziri pekee wa Mambo ya Ndani aliyeibeba CCM

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,513
217,779
Huu ndio ukweli ambao hata Lumumba inaujua.

Haifahamiki kwanini mpaka leo CCM imeshindwa kupata mtu sahihi wa kufit kwenye wizara hii, kila aliyefuata baada ya Mrema alipwaya vibaya sana kiasi cha kushindwa kabisa kuondoa changamoto zinazolikabili jeshi la polisi.

Wako walioshindwa kabisa hata kukemea maovu, ikiwemo ujambazi pamoja na ile biashara kubwa kwa sasa nchini ya madawa ya kulevya, hadi kufikia waziri wa uchukuzi kuingilia kati na kujitutumua japo haifahamiki zilikoishia juhudi zake.

Wengine waling'olewa na bunge baada ya kunyamazia ama kushiriki kwenye operesheni tokomeza, operesheni ambayo dunia iliitafsiri kama UHALIFU MKUBWA DHIDI YA BINADAMU .

Ukiacha usaliti wake kwa wananchi bado Lyatonga Mrema hajapata mbadala wake wizara ya mambo ya ndani, sikumbuki kama aliwahi kufanya biashara yoyote na jeshi la polisi.

Pongezi kwake.
 
Ccm ya sasahivi hawataki watu wenye kukomalia maslahi kwa wananchi. Ccm ya sasa ufisadi na kwenda mbele. Lyatonga Mrema hana kazi wampee tu hio nafasi. Japo kazeeka lakini ujuzi hauzeeki.
 
Ccm ya sasahivi hawataki watu wenye kukomalia maslahi kwa wananchi. Ccm ya sasa ufisadi na kwenda mbele. Lyatonga Mrema hana kazi wampee tu hio nafasi. Japo kazeeka lakini ujuzi hauzeeki.
Naihurumia sana ccm ! Kwao uongozi haupo kwenye vitabu , wanategemea kipaji cha mtu .
 
Huu ndio ukweli ambao hata Lumumba inaujua.

Haifahamiki kwanini mpaka leo CCM imeshindwa kupata mtu sahihi wa kufit kwenye wizara hii, kila aliyefuata baada ya Mrema alipwaya vibaya sana kiasi cha kushindwa kabisa kuondoa changamoto zinazolikabili jeshi la polisi.

Wako walioshindwa kabisa hata kukemea maovu, ikiwemo ujambazi pamoja na ile biashara kubwa kwa sasa nchini ya madawa ya kulevya, hadi kufikia waziri wa uchukuzi kuingilia kati na kujitutumua japo haifahamiki zilikoishia juhudi zake.

Wengine waling'olewa na bunge baada ya kunyamazia ama kushiriki kwenye operesheni tokomeza, operesheni ambayo dunia iliitafsiri kama UHALIFU MKUBWA DHIDI YA BINADAMU .

Ukiacha usaliti wake kwa wananchi bado Lyatonga Mrema hajapata mbadala wake wizara ya mambo ya ndani, sikumbuki kama aliwahi kufanya biashara yoyote na jeshi la polisi.

Pongezi kwake.

Umeingilia thread yangu aya sasa subiri comment
 
Bila shaka Mrema alikuwa muadilifu ndio maana aliweza kufanya yote yale bila kashifa yoyote. Kwa sasa sifahamu amekumbwa na jambo gani. Inaelekea kapoteza mwelekeo kabisa na anashusha heshima aliyokua amejiwekea akiwa waziri wa mambo ya ndani kwa kasi kubwa.
 
Ccm ya sasahivi hawataki watu wenye kukomalia maslahi kwa wananchi. Ccm ya sasa ufisadi na kwenda mbele. Lyatonga Mrema hana kazi wampee tu hio nafasi. Japo kazeeka lakini ujuzi hauzeeki.
Ccm ilishajivua gamba na kuwatupia chadema. Sasa wanahangaika kusafisha mafisadi
 
Bila shaka Mrema alikuwa muadilifu ndio maana aliweza kufanya yote yale bila kashifa yoyote. Kwa sasa sifahamu amekumbwa na jambo gani. Inaelekea kapoteza mwelekeo kabisa na anashusha heshima aliyokua amejiwekea akiwa waziri wa mambo ya ndani kwa kasi kubwa.
Kwa sasa Lyatonga Mrema anatafunwa na laana ya usaliti , ambayo kwa mujibu wa biblia takatifu itatafuna hadi vitukuu vyake .
 
Back
Top Bottom