Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Wilfred Lwakatare ameandika barua akiomba kujiuzulu nafasi za uongozi zake zote alizokuwa nazo ndani ya CUF. Lengo lake ni kujikita jimboni kuelekea uchaguzi mkuu
Wilfred Lwakatare ameandika barua akiomba kujiuzulu nafasi za uongozi zake zote alizokuwa nazo ndani ya CUF. Lengo lake ni kujikita jimboni kuelekea uchaguzi mkuu
Wilfred Lwakatare ameandika barua akiomba kujiuzulu nafasi za uongozi zake zote alizokuwa nazo ndani ya CUF. Lengo lake ni kujikita jimboni kuelekea uchaguzi mkuu
welcome to chadema
CCM wamesha mchukua kitambo mkuu,wao ndio wamemshinikiza kuandika barua za kujiondoa CUF.
Hajahama chama, bado ni mwanachama wa CUFwelcome to chadema
chadema ndio walioua upinzani historia hataacha kuinyooshea kidole hawa maana ni waroho wa madaraka na wasiojua siasa ni maoportunist tu
washindwe na wa legee kwa nguvu za jf
Nkisikia habari za mwanamaguzi anahama upinzani na kujiunga na chama tawala napata kama kichefuchefu hivi.
Waachine madaraka ya ngazi za juu kama CHADEMA na CCM.Nadhani ni haki yake kujiuzulu,na sidhani kama ni pigo kwa chama chake! Katika kila chama kila mtu ni muhimu,alikuwepo mwalimu nyerere na sote tulidhani ni muhimu sana katika nchi yetu,mwalimu alifariki na nchi ikiwa katika ufisadi mkubwa na hali hiyo in aendelea hadi leo.Nadhani cuf wanaweza peke yao bila lwakatare,bila lipumba na hata bila maalim wanaweza kwenda mbele kwani wana structure nzuri kuliko vyama vote vya upinzani.