Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Hivi kwa nini JK hatumii cheo chake cha kijeshi kama wanaotumia akini Kapteni Chiligati, Mkuchika, Makamba, etc? Na kwa nini anakuwa Amiri Jeshi Mkuu huku akiwa na cheo kidogo, Luteni, ukilinganisha na vyeo vingine vya Jeshi? Au anapandishwa Cheo automatically anapoapishwa kuwa Rais?
Just thinking loudly!
Just thinking loudly!