Hujanichamba.... Alwayz naheshimu logic argument, hata iwe chungu kama mwarobaini!!!!!!
Umenipa ushauri mzuriiiiii
Mbwa hazomei yaliyopta, tugange ya keshoooo!!!!
Kidumu Chama cha........ Cjuw wew uko C..M gani?????
Duuuuu...
Hiki kisa cha maisha yangu ya MMU nikikaa pekee yangu, naishia kuchekaa!!! Kweli wanawake wanaweza, nawaheshimuuuu bana, kongosho, smile, mwali,.... Mko wapi???
2007 nilikuwa na gf tukakorofishana k2 kidogo... Najua utoto cjuw... Bt i was 26..
Nikampga chini, mwez feb, akanibaka!! Yaan alinilazimisha ku-do....
Alienda lodge akapanga chumba, she waz 21..oops... Akanisumbua kwa cm hadi nikaona niende,,, haaaa,, nikaenda kwa michezo ya Mourinho!!! Nikajpanga cmtak hata kumuona.... Kanisumbua, aaaa wapi
Then nikaenda chuo... Mmmmmm, narudi likizo,nashangaaa mfanyakaz mmaamaaa anaanza kuniita baba fulani, nilijuwa utaniii
Kumbe yule bint alikuwa na mimba, alipoona nimetosa alienda kwa bf wa zamani akapanga mipango ya ndoa, wakaoanaa..... Miez michache akajifunguaaaa
Mimi cna mpango wa kumtafta, after all poti kamjengea nyumba na kumnunulia gari
Tatizo, huyu bint kameanza kunisumbua, nilienda kumuona cku moja, akafurahi, tena akawa anamwambia yule mtoto msalimie baba yako.... Loooo
Mimi nikabak kuduwaah..... Tena anauliza umeoa, nataka unioe!!!! Jamanii
Akikaa akpiga simu anasema ongea na mwanao, and the baby boy anaanza kusikika!!!!
BTW: vijana wadogo zangu heshimu wanawake.....wana siri nzito mioyoni!!!!
Mi hapa ni kuuchuna principal, ctak kumuona tena, hata cm zake nazkwepa. Ctak kuharibu maisha ya poti..... Maumiv ya mapenz ni mabaya!!!!
Binafs, cna mke wala mtoto!! Nawaogopa, nakula kwa style ya Ali Kiba
Hujanichamba.... Alwayz naheshimu logic argument, hata iwe chungu kama mwarobaini!!!!!!
Umenipa ushauri mzuriiiiii
Mbwa hazomei yaliyopta, tugange ya keshoooo!!!!
Kidumu Chama cha........ Cjuw wew uko C..M gani?????
Hujanichamba.... Alwayz naheshimu logic argument, hata iwe chungu kama mwarobaini!!!!!!
Umenipa ushauri mzuriiiiii
Mbwa hazomei yaliyopta, tugange ya keshoooo!!!!
Kidumu Chama cha........ Cjuw wew uko C..M gani?????
Hv kongosho jinsia gani?
Nimepitia story yako inaonekana yeye ndio alitaka kukubambikia wewe so hakuna sehemu inayoonyesha wewe ndio umempa bali ilitaka kula kwako!
Hujanichamba.... Alwayz naheshimu logic argument, hata iwe chungu kama mwarobaini!!!!!!
Umenipa ushauri mzuriiiiii
Mbwa hazomei yaliyopta, tugange ya keshoooo!!!!
Kidumu Chama cha........ Cjuw wew uko C..M gani?????
You are 31 and still a kid?!
Growing old is mandatory, growing up is an option.
njoo mchukue mwanao ati ameshakuwa mkubwa . yaani huwezi kumkataa kwa jinsi alivyofanana na baba yake .
huyu hapa .
You are 31 and still a kid?!
Growing old is mandatory, growing up is an option.
You are 31 and still a kid?!
Growing old is mandatory, growing up is an option.