Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Duuuuu...
Hiki kisa cha maisha yangu ya MMU nikikaa pekee yangu, naishia kuchekaa!!! Kweli wanawake wanaweza, nawaheshimuuuu bana, kongosho, smile, mwali,.... Mko wapi???
2007 nilikuwa na gf tukakorofishana k2 kidogo... Najua utoto cjuw... Bt i was 26..
Nikampga chini, mwez feb, akanibaka!! Yaan alinilazimisha ku-do....
Alienda lodge akapanga chumba, she waz 21..oops... Akanisumbua kwa cm hadi nikaona niende,,, haaaa,, nikaenda kwa michezo ya Mourinho!!! Nikajpanga cmtak hata kumuona.... Kanisumbua, aaaa wapi
Then nikaenda chuo... Mmmmmm, narudi likizo,nashangaaa mfanyakaz mmaamaaa anaanza kuniita baba fulani, nilijuwa utaniii
Kumbe yule bint alikuwa na mimba, alipoona nimetosa alienda kwa bf wa zamani akapanga mipango ya ndoa, wakaoanaa..... Miez michache akajifunguaaaa
Mimi cna mpango wa kumtafta, after all poti kamjengea nyumba na kumnunulia gari
Tatizo, huyu bint kameanza kunisumbua, nilienda kumuona cku moja, akafurahi, tena akawa anamwambia yule mtoto msalimie baba yako.... Loooo
Mimi nikabak kuduwaah..... Tena anauliza umeoa, nataka unioe!!!! Jamanii
Akikaa akpiga simu anasema ongea na mwanao, and the baby boy anaanza kusikika!!!!
BTW: vijana wadogo zangu heshimu wanawake.....wana siri nzito mioyoni!!!!
Mi hapa ni kuuchuna principal, ctak kumuona tena, hata cm zake nazkwepa. Ctak kuharibu maisha ya poti..... Maumiv ya mapenz ni mabaya!!!!
Binafs, cna mke wala mtoto!! Nawaogopa, nakula kwa style ya Ali Kiba
Hiki kisa cha maisha yangu ya MMU nikikaa pekee yangu, naishia kuchekaa!!! Kweli wanawake wanaweza, nawaheshimuuuu bana, kongosho, smile, mwali,.... Mko wapi???
2007 nilikuwa na gf tukakorofishana k2 kidogo... Najua utoto cjuw... Bt i was 26..
Nikampga chini, mwez feb, akanibaka!! Yaan alinilazimisha ku-do....
Alienda lodge akapanga chumba, she waz 21..oops... Akanisumbua kwa cm hadi nikaona niende,,, haaaa,, nikaenda kwa michezo ya Mourinho!!! Nikajpanga cmtak hata kumuona.... Kanisumbua, aaaa wapi
Then nikaenda chuo... Mmmmmm, narudi likizo,nashangaaa mfanyakaz mmaamaaa anaanza kuniita baba fulani, nilijuwa utaniii
Kumbe yule bint alikuwa na mimba, alipoona nimetosa alienda kwa bf wa zamani akapanga mipango ya ndoa, wakaoanaa..... Miez michache akajifunguaaaa
Mimi cna mpango wa kumtafta, after all poti kamjengea nyumba na kumnunulia gari
Tatizo, huyu bint kameanza kunisumbua, nilienda kumuona cku moja, akafurahi, tena akawa anamwambia yule mtoto msalimie baba yako.... Loooo
Mimi nikabak kuduwaah..... Tena anauliza umeoa, nataka unioe!!!! Jamanii
Akikaa akpiga simu anasema ongea na mwanao, and the baby boy anaanza kusikika!!!!
BTW: vijana wadogo zangu heshimu wanawake.....wana siri nzito mioyoni!!!!
Mi hapa ni kuuchuna principal, ctak kumuona tena, hata cm zake nazkwepa. Ctak kuharibu maisha ya poti..... Maumiv ya mapenz ni mabaya!!!!
Binafs, cna mke wala mtoto!! Nawaogopa, nakula kwa style ya Ali Kiba