liverpool2012
Senior Member
- Apr 4, 2012
- 102
- 23
Jamaa ana PHD ya matusi
Amesema yupo tayari kwenda kumnadi mgombea ubunge wa ccm katika chaguzi ndogo wenye mashaka Arusha.
Huyu ndo jembe letu nsa tunamuamini!
mwache aje kwani ataturahisishia ushindi. Pia Wassira, Mkapa, nape nao wasikose kuja. CHD hatuna hata haja ya kukampeini.
Huyu jamaa kweli KILAZA WAKUZALIWA! Atakiponza chama chake!
Huyu ndo jembe letu nsa tunamuamini!
Huko sio AR?Kama anataka kurudi Mtera akiwa ameongezewa jina la tatu(marehemu)aende A-Town akaongee maneno yake aliyoyatoa huko Arumeru Mashariki.