Tatizo sio watoto maana hawakuwa na uwezo wa kujichagulia baba,huyo mke hakumchunguza mume kabla ya kuolewa? Mrs Lusinde ulikubali vipi kuolewa na Livingstone? Au ndoa ya mkeka?Jamani anawatoto
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Ana GB 1000 za matusi mdomoni, bado kwenye ubongoLusinde hoyeeeeee
Jana tarehe 9/10/2012 CHADEMA walizindua kampeni zao za kugombea udiwani kata ya Mpwapwa mjini iliyowazi baada ya kifo cha diwani DR. Maiseli miezi minne iliyopita.
Uzinduzi huo ulifanyika kwenye uwanja wa mashujaa sokoni Mpwapwa. Leo hii ilikuwa ni zamu ya chama tawala CCM ambao wao wanajinasibu kwamba kwao matusi siyo sera walifanyia uzinduzi wao papepale walipofanyia wenzao jana Kama kawaida itifaki ilizingatiwa, miongoni mwa waalikwa kwa minajiri ya kutia nguvu alikuwa ni mbunge wa mtera Mhe.l. lusinde mbunge wa CCM jimbo la Mtera (bwana matusi).
Wakiongozwa na MC ilifika zamu ya Lusinde kuzungumza, alipopewa nafasi alianza kwa kuuliza swali hadhila kwamba mwanaume anavyolalwa anaanza kuvua suluale au chupi, swali hilo ndilo lililofunga mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM hapa Mpwapwa, Wakwanza kuondoka alikuwani Mh Lubeleje ambae ni M. NEC mteule wakafuata watu wengine.Ndio maana nasema Lusinde ilimaliza kampeni za CCM kiaina.
My TAKE CCM wajifunze siyo kila mtu anafaaa kualikwa, wengine wanaharibu siku kabisa kama Lusinde yuko addict na matusi hawezi kuacha.
Mkuu Mungi nakuheshimu kaka! hahahahahahahah! (hope haumaanishi)Asante mwenyekiti wangu, umeniwahi. I was thinking the same.
Lusinde lazima atakuwa ametumwa na chadema kuiua ccm