Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hayo ndio maneno ya Kibonde muda si mrefu wakati anamfanyia interview Lusinde.
Ombi kwa Kusaga.Tafadhali sana sana sana
Ongea na huyo bwana mdogo na mwambie kuwa huu moto wa kudharau na kuwakashifu watu wa Pwani utawatokea puani.
Nakuheshmu sana Bwana Kusaga lakini respect is a 2 way traffic na sidhani ungependelea kuona watu wa Pwani wakiamua kujibu katika namna wanayoona sawa
Ombi kwa Kusaga.Tafadhali sana sana sana
Ongea na huyo bwana mdogo na mwambie kuwa huu moto wa kudharau na kuwakashifu watu wa Pwani utawatokea puani.
Nakuheshmu sana Bwana Kusaga lakini respect is a 2 way traffic na sidhani ungependelea kuona watu wa Pwani wakiamua kujibu katika namna wanayoona sawa