MAPIKIPIKI
Member
- Apr 27, 2011
- 46
- 12
Kiukweli huyu jamaa mi nina mashaka na uwezo wake wa akili au la ni kweli ana matatizo ya akili.Nawaonea huruma wanamtera imekula kwao
Video za CHADEMA kuwatukana CCM ziko wapi?
Tunazihifadhi hadi 2015...Video za CHADEMA kuwatukana CCM ziko wapi?
Labda kanisa la vichaa!!...Dah eti neno "kudadadadeki" kalizoea anaweza hata kutumia kanisani