Lushoto: Irente view point hotel, Mazinde Juu,Magamba na Nyumba ya Mkapa

Mndundu

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
233
34
Irente View Point Hotel iliyopo Lushoto (mazingira ya Nje na Ndani ya Vyumba)
 

Attachments

  • hotel8.JPG
    hotel8.JPG
    532.7 KB · Views: 975
  • hotel7.JPG
    hotel7.JPG
    815.4 KB · Views: 1,004
  • hotel1.JPG
    hotel1.JPG
    772.4 KB · Views: 664
  • hotel2.JPG
    hotel2.JPG
    440.9 KB · Views: 617
  • hotel10.JPG
    hotel10.JPG
    412.9 KB · Views: 562
  • hotel3.JPG
    hotel3.JPG
    374.5 KB · Views: 494
  • hotel5.JPG
    hotel5.JPG
    856 KB · Views: 550
  • hotel4.JPG
    hotel4.JPG
    472.1 KB · Views: 523
  • hotel9.JPG
    hotel9.JPG
    886.8 KB · Views: 598
Kali sana...unajua bei kwa usiku mmoja? Unaweza enda jificha huko na mke wa mtu week end mojawapo!
 
Mazingira ya Lushoto vijijini, kivuko cha kusafirishia magogo na jiwe lenye alama ya unyayo wa mguu (nadhani wenyeji wanaita unyayo wa Mungu kama sijakosea)
 

Attachments

  • lsht2.JPG
    lsht2.JPG
    384.4 KB · Views: 366
  • lusht1.JPG
    lusht1.JPG
    840.1 KB · Views: 368
  • lusht3.JPG
    lusht3.JPG
    680.2 KB · Views: 379
  • lusht4.JPG
    lusht4.JPG
    583.1 KB · Views: 378
  • lusht5.JPG
    lusht5.JPG
    58.2 KB · Views: 353
  • lusht10.JPG
    lusht10.JPG
    919.3 KB · Views: 423
  • lusht8.JPG
    lusht8.JPG
    381.3 KB · Views: 352
  • lusht7.JPG
    lusht7.JPG
    584.5 KB · Views: 338
  • lusht6.JPG
    lusht6.JPG
    888 KB · Views: 385
Mzee executive suites ni laki moja kwa siku nilipoenda mwaka jana
 
Magamba Secondary School ya enzi hizo na Mazinde Juu Secondary
 

Attachments

  • magmb1.JPG
    magmb1.JPG
    420.8 KB · Views: 335
  • magmb2.JPG
    magmb2.JPG
    484.8 KB · Views: 334
  • maznd1.JPG
    maznd1.JPG
    851.8 KB · Views: 401
  • maznd2.JPG
    maznd2.JPG
    739.7 KB · Views: 358
  • maznd3.JPG
    maznd3.JPG
    961.4 KB · Views: 395
  • maznd4.JPG
    maznd4.JPG
    778.1 KB · Views: 296
Nyumba ya Rais mstaafu kwa mbaaaali na maporomoko ya maji (water fall) yaliyo njia ya kwenda kifungiro
 

Attachments

  • mkp1.JPG
    mkp1.JPG
    859.6 KB · Views: 482
  • mkp2.JPG
    mkp2.JPG
    509.2 KB · Views: 416
  • waterfl.JPG
    waterfl.JPG
    804.4 KB · Views: 404
Hotel ya Muller`s ambayo inapakana na nyumbani kwa Rais Mstaafu Mkapa
 

Attachments

  • mullers1.JPG
    mullers1.JPG
    774.3 KB · Views: 363
  • mullers2.JPG
    mullers2.JPG
    1.5 MB · Views: 340
  • mullers3.JPG
    mullers3.JPG
    1 MB · Views: 322
  • mullers4.JPG
    mullers4.JPG
    1 MB · Views: 339
Asante Mkuu kwa Picha. Nilishawahi kufika Lushoto zamani saana. Nilipandishwa kwenye basi la East Africa Railway (mabasi meupe na mstari mweusi) na sister wangu tukiwa na mwanae. Tulisafiri na kijana mmoja kama Kondakta wa Bus aliyeonekana kufahamu tunakwenda wapi maana tulikuwa below 5 years. Tulipoingia tu mwanzo wa mji (kulikuwa na barabara ya lami na taa za barabarani) basi likasimama na tukashushwa na hapo kulikuwa na kijana aliyekuja kutupokea. Alituchukua hadi kwa babu mmoja akienda kwa jina la Mzee Mtangi. Nyumba nakumbuka ilikuwa eneo la milimani, nyasi safi kabisaa. Babu alikuwa na kigorofa chake miaka hiyo ya 70 na mke wa Kizungu juu. Tulikaa wiki mbili na tukarudishwa tena Korogwe kwa njia hiyohiyo.

Natamani siku moja nirudi tena nilione hili eneo. Lushoto kwa kweli ni pazuri saana na ukichukulia hali ya hewa na mimea inayoota hapo, kweli mtu unapumzika saafi sana.
 
Mdundu,
Asante kwa kunuikumbusha shule ya Magamba, nilikuwa hapo hadi mwaka 1989.
Na ile irente view inanikumbusha enzi hizo hii hotel haikuwepo, lakini tulikuwa tunashuka pale mlimani kwa miguu kwenda likizo (maalufu kama kupiga jumbo). Headmaster alikuwa mzee Dimoso!!!

Naona na Skyline ya shume
Wao, hakuna shaka Lushoto ni eneo zuri sana kwa utalii. Kama huna pesa nyingi kukaa Irente View nenda ukae loans hotel, nadhani bado ipo.

Katoto.
 
Nimefurahi sana kuziona picha hizo.
Lushoto ni sehemu nzuri sana hasa kwa utalii, nilifika huko miezi michache iliyopita na
sikuamini jinsi kunavyopendeza.
Watanzania ambao bado hatujafika, tujaribu siku moja kutembelee na tukajionee wenyewe.
Vivutio ni vingi. Tutembelee jamani
 
Nilifika Lushoto mara mbili.Kwanza nikiwa high school siku hizo dada yangu anafanya kazi pale.Nili enjoy sana manake sister anafanya bank halafu alikuwa well known yani ukijitambulisha kuwa ni kaka yake basi totoz wote wako!
Then wakati nafanya chuo kikuu ilikuwa ni fieldwork wiki 2 pale NIMR.This time nikiwa na 'boom' langu la field nikapanga chumba cha peke yangu halafu nikaingia mtaani nikakamata toto moja saafi la kisambaa basi kila usiku nikawa namega kisela.Wiki mbili zilikuwa kama siku moja babako
Lushoto wacha kabisa mshkaji unaweza kulowea!
 
Asante Mkuu kwa Picha. Nilishawahi kufika Lushoto zamani saana. Nilipandishwa kwenye basi la East Africa Railway (mabasi meupe na mstari mweusi) na sister wangu tukiwa na mwanae. Tulisafiri na kijana mmoja kama Kondakta wa Bus aliyeonekana kufahamu tunakwenda wapi maana tulikuwa below 5 years. Tulipoingia tu mwanzo wa mji (kulikuwa na barabara ya lami na taa za barabarani) basi likasimama na tukashushwa na hapo kulikuwa na kijana aliyekuja kutupokea. Alituchukua hadi kwa babu mmoja akienda kwa jina la Mzee Mtangi. Nyumba nakumbuka ilikuwa eneo la milimani, nyasi safi kabisaa. Babu alikuwa na kigorofa chake miaka hiyo ya 70 na mke wa Kizungu juu. Tulikaa wiki mbili na tukarudishwa tena Korogwe kwa njia hiyohiyo.

Natamani siku moja nirudi tena nilione hili eneo. Lushoto kwa kweli ni pazuri saana na ukichukulia hali ya hewa na mimea inayoota hapo, kweli mtu unapumzika saafi sana.

Yeah, Lushoto pazuri sana nilikuwa huko mwaja jana na nilifika hapo Irente View Point Hotel kweli panapendeza. Mji ulivyokaa ni kama Geneva tofauti tu ni majengo. Ukiwa pale nyuma ya hiyo Hotel kuna jiwe ambalo ukikaa juu yake unaiona vizuri barabara ya Dar - Arusha na ni parefu sana, yaani kama uko angani vile na mtu akiteleza hapo ndoo basi tena wataokota vipandevipande huko chini.
 
Mafisadi wanajuana kwa ufisadi wao na kulindana.

Ni kweli ndo maana pale mwanzoni mwa hekaheka za uchaguzi mkuu wa 2005 watu waliokuwa wakisemekana kuwa ni machaguo ya Mkapa kugombea urais na Ngwilizi alikuwemo kutokana na uswahiba wao. Mtu mmoja alituambia tulipokuwa Lushoto kuwa hicho kiwanja alichojenga Mkapa aliporwa mwananchi mmoja na akaambiwa asithubutu kupiga kelele. Sasa sijui kama ilikuwa hivyo kweli au watu waliongeza chumvi.
 
Kwa mnaopajua vizuri Irente, hivi kile kituo cha watoto yatima bado kipo?
 
Back
Top Bottom