Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Msela kaingia lupango, kufika tu wahuni wakamkaribisha mwali mwali mwali akaona hapa ataolewa mtu leo, wakamuuliza kosa alilofanya akajibu ameua watu wengi sana,jioni akaja kuwekewa dhamana na ndugu zake askari kaja kumuita we ulieiba dafu njoo hapa jamaa akaenda watu ayaaaaaaaaaaaaa!