Ndugu wana JF,
Tunasikitika kuwataarifu kuwa mwenzetu Lunyungu ambaye ni JF member, anaugua mno, hawezi kusimama wala kukaa, anaishi kwenye wheelchair.
His lower disc has been compressed ,ana maumivu makali sana na anasubiria operation.
Anasema anawamiss sana JF members na anamiss the forum.
Kwa yoyote anaetaka kuwasiliana nae, namba yake ni 0767 554433.
Uongozi wa Jf na kwa niamba ya members wote wa JF inampa pole sana na inamtakia afya njema na apone haraka.
Mungu mbariki na msaidie Lunyungu.
ndugu wana jf,
tunasikitika kuwataarifu kuwa mwenzetu lunyungu ambaye ni jf member, anaugua mno, hawezi kusimama wala kukaa, anaishi kwenye wheelchair.
His lower disc has been compressed ,ana maumivu makali sana na anasubiria operation.
Get well soon...!!
Anasema anawamiss sana jf members na anamiss the forum.
Kwa yoyote anaetaka kuwasiliana nae, namba yake ni 0767 554433.
Uongozi wa jf na kwa niamba ya members wote wa jf inampa pole sana na inamtakia afya njema na apone haraka.
Mungu mbariki na msaidie lunyungu.
Namwombea sana ndugu yetu huyu apate nafuu mapema.Ndugu wana JF,
Tunasikitika kuwataarifu kuwa mwenzetu Lunyungu ambaye ni JF member, anaugua mno, hawezi kusimama wala kukaa, anaishi kwenye wheelchair.
His lower disc has been compressed ,ana maumivu makali sana na anasubiria operation.
Anasema anawamiss sana JF members na anamiss the forum.
Kwa yoyote anaetaka kuwasiliana nae, namba yake ni 0767 554433.
Uongozi wa Jf na kwa niamba ya members wote wa JF inampa pole sana na inamtakia afya njema na apone haraka.
Mungu mbariki na msaidie Lunyungu.
Nimetoka kuongea na Lunyungu dakika chache zilizopita kifupi alichoniambia ni kuwa anasikia maumivu ila anajitahidi sana kuvumilia kwa sasa anameza pain killers, operation amesema itafanyika next week they are flying him to Holland kwa ajili ya operation kwahiyo ameomba sana tumuombee na pia tumkumbuke kwenye sala zetu kwa kuwa kila kitu ni kwa uwezo wa mwenyezi Mungu