uanwaharibia watu swaum bwana uwe unaangalia threads za mwezi wa ramadhani
sio kila thread tu unaiweka
kweli sasa nimeona ni kumbi kumbi, nawapenda pia, ila inabidi wakaushwe vizuri, otherwise unaweza rudisha chenjiwe mwenyeji wa wapi ndugu?...kwetu siye vichuguu vinatoa kumbikumbi wakubwa...anyway karibu mezani
Mkuu umenirudisha mbali sana leo... nitakutafuta kwa zawadi yako.... hivi hapa dar wanapatikana wapi hawa?