duh ingawa sili but ya kusema wanakula maiti imenimaliza nguvuSenene? kila nikiwala wananichafua roho baada ya muda. Kuna mtu alikuja enzi hizo akasema hawa wadudu wanakula maiti ndio ikawa mwisho wangu!
kumbikumbi hapana, kipindi tunasoma kuna mtu alikuja nao , mi nlikuwa na magimbi sasa tukawa tunachanganya chakula tunapiga pamoja, sasa hao wadudu walikuwa hawajakauka vizuri, yaani nlizomea ardhi siku ile mpaka nikakoma kudandia misosi ya watu
Senene? kila nikiwala wananichafua roho baada ya muda. Kuna mtu alikuja enzi hizo akasema hawa wadudu wanakula maiti ndio ikawa mwisho wangu!
Hivyooo......
tulikuwa tunachanganya misosi, kikundi cha marafiki wa kijiji kimoja mnapiga sahani moja baada ya nyinginehahaha, kumbikumbi na magimbi si mchezo
kumbikumbi? mbona wakubwa sana?hahaha, kumbikumbi na magimbi si mchezo
jamani si wengine tumefunga tunahalibiana swaumu