Analia!!!!
madamex umesahau rozari, hiyo ndio inaniacha hoi kuliko vyote! mmh marehemu kazi alikuwa nayo wallah!Mimi nauliza haya mambo ya ushungi ya nini na toka lini?
basi tu ila huyu mtoto anajua kweli nini kinamsibu ama anafikiri anatunga firamu?
Bi mkubwa maombi ni ya aina nyingi. hayo ya huyu ni yapi exactly?