Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Wanasheria, tunaomba muongozo wa hii kesi ya Dogo Lulu,je anashitakiwa kwa kuua moja kwa moja au kuchangia kifo? Maaana mpaka sasa ni kizungumkuti, nimesoma hii taarifa inaonesha anashitakiwa kwa kuua.
Hakimu ambembeleza Lulu mahakamani
Hakimu ambembeleza Lulu mahakamani