MpendaCHADEMA
Member
- Mar 23, 2012
- 51
- 8
Ni kweli Tanzania inafanya vizuri zaidi hata ya nchi za dunia ya kwanza katika nyanja zifuatazo:
1. Wizi
2. Kuongeza umasikini na kupunguza utajiri
3. Kutoa kauli
4. Kununua magari ya kifahari
5. Kuadhibu wezi kwa kujiuzulu
6. Kuharibu madawa ya binadamu wakati hospitali hazina dawa.
7. kutmia 700mil katika trade fair
8. Twiga kupanda ndege
9. Raisi kufungua ofisi angani
10. Rais kufanya kazi za mabalozi
11.........
ongezeni
1. Wizi
2. Kuongeza umasikini na kupunguza utajiri
3. Kutoa kauli
4. Kununua magari ya kifahari
5. Kuadhibu wezi kwa kujiuzulu
6. Kuharibu madawa ya binadamu wakati hospitali hazina dawa.
7. kutmia 700mil katika trade fair
8. Twiga kupanda ndege
9. Raisi kufungua ofisi angani
10. Rais kufanya kazi za mabalozi
11.........
ongezeni