mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 661
Kama kweli lukuvi alimuita Filikunjombe na kumwambia asisaini kwenye kura za kumtoa pinda kwenye jambo la manufaa kwa watanzania atakuwa amewakataza na wabunge wengine wa ccm. Hivi huyu lukuvi ana tofauti gani na kina ngeleja? Yeye yuko bungeni kwa maslahi ya nani? Hivi hana machungu na maisha ya watanzania? Anaona raha watanzania wateseke watu wachache wafaidi fedha zetu? Haoni aibu kuwatisha watetea fedha na maslahi ya watanzania? Huyu bwana afanyejwe?