Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,136
Majuzi nimeshhangaa sana kuona watu walioua watoto wachanga si chini ya miamoja.watu wazima si chini ya hamsini jamani leo hii wameamishwa kutoka mwananymala kusambazwa hospital nyingine
Bado najiuliza mh lukuvi hii ni suluhisho la kutokomeza uovu.....,uoni kamawalikuwa wauwaji wanazidi kuendelea kuua....kama wakatili unahisi wakienda mikoani wataacha ukatili
hawa awakuwa tofauti na maharamia wa somalia jamani...serikali ni wanafiki ukiwona hivyo kuna mmohja wa ndugu wa KIONGOZI yamemkuta wakajifanya wameamua kuwabadilisha...
Hili si soln ya KUMALIZA MATATIZO MAOFISINI.....
Bado najiuliza mh lukuvi hii ni suluhisho la kutokomeza uovu.....,uoni kamawalikuwa wauwaji wanazidi kuendelea kuua....kama wakatili unahisi wakienda mikoani wataacha ukatili
hawa awakuwa tofauti na maharamia wa somalia jamani...serikali ni wanafiki ukiwona hivyo kuna mmohja wa ndugu wa KIONGOZI yamemkuta wakajifanya wameamua kuwabadilisha...
Hili si soln ya KUMALIZA MATATIZO MAOFISINI.....