mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,960
- 2,464
Wadau nimelishuhudia bunge la leo nikauona mnyukano kati ya Lukuvi, CCM na Msigwa. Ukweli ni kwamba Lukuvi hakuwa na chochote cha kuzungumza mda ule ila hasira za uchaguzi ndo zimemfanya azungumze ule ujinga wake.
Wakati wa uchaguzi Lukuvi alitoka isimani akaja kupiga kambi Iringa mjini kuisaidia CCM na mama Mbwiga wake, jamaa alijiona ni maarufu sana Iringa eti angeokoa jahazi la CCM lisizame lakini kinyume chake walidondokea pua licha ya juhudi za kuchakachua kushindikana. Toka siku ile Lukuvi hana hamu na Msigwa na ndio maana jamaa anajitahidi kumpinga kila anapopata nafasi.
Wakati wa uchaguzi Lukuvi alitoka isimani akaja kupiga kambi Iringa mjini kuisaidia CCM na mama Mbwiga wake, jamaa alijiona ni maarufu sana Iringa eti angeokoa jahazi la CCM lisizame lakini kinyume chake walidondokea pua licha ya juhudi za kuchakachua kushindikana. Toka siku ile Lukuvi hana hamu na Msigwa na ndio maana jamaa anajitahidi kumpinga kila anapopata nafasi.