kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
kakunja uso, dalili ya imani haba
pembeni ndio mkewe au? hii ya lini?
Tuna wagonjwa wengi serikalini ndio sababu hawawezi kutatua matatizo ya wananchi .... ... pengine safari za India zitapungua. Sasa angalia hiyo nyumba ndiyo nyumba za watanzania hizo halafu wanawaajiri ati ma-exparts ambao wanalipwa na pesa za walipa kodi kukaa mahotelini ... ... ... hiki kiinchi kinanuka rushwa.
kakunja uso, dalili ya imani haba
pembeni ndio mkewe au? hii ya lini?
Huyo pembeni ni Rosemary Nyerere.MB..mtoto wa JKN
hahaaaa wizi mtupuuuuuuuuuu
Hivi mtu kama Lukuvi naye analipa 500 tu? (hasa hasa ukiangalia hali ya kibanda cha Babu)
kakunja uso, dalili ya imani haba
pembeni ndio mkewe au? hii ya lini?