Philemon Luhanjo amemtaka mkurungenzi wa Halmashauli Njombe na watendaji wote wa serikali kudhibiti wapinzani kualikwa kama wageni rasmi
Huyu mzee anazeeka vibaya wakuu,maana kauli anazotoa kipindi hiki ni uharo sana....si ndio huyu aliyetoa kauli kwa madaa ya kumsafisha Jairo...baadae ikagundulika kaharisha mbele za watu?
Kiongozi yeyote ni mwakilishi wa wananchi. akitengwa ni wananchi wametengwa. serikali ni ya wananchi.
Hawa viongozi nani kawaloga?
Hebu fikirieni watu wenye akili kama za Luhanjo ndio wapo ikulu wanamshauri; it is real dangerous for our emerging democracy.
Sasa nimeelewa kwanini jk anaonekana kama is a joke kwa sababu ya watu kama ambao wana fikra na mawazo ya itikadi za ki imla za chama kimoja wameshapitwa na wakati.
Huwezi kuwajua mpaka wafungue midomo usikie kinachotoka midomoni mwao i feel sorry for jk kujizungushia watu kama hawa He has no body to blame but himself we gave him a power to fire outdated people, he chose not to exercise it .
Alhamsiki.
Philemon Luhanjo amemtaka mkurungenzi wa Halmashauli Njombe na watendaji wote wa serikali kudhibiti wapinzani kualikwa kama wageni rasmi